hivi huyo dem wako kakwambia usimtafte bila kumpatia hizo dawa?maana naona umelivamia jukwaa kwa fujo kweli. na mihemko ya ajabu hakuna hata salam sujui ww ni binadam wa nch gani !
mimi hapa sina ushaur subir kinadada wanakuja.
angalizo angalia kesho asikutume uje uuize peds zipi nzur zisizoleta fangasi na zinazoweza kumuacha mpenzio mkavu.