W wambra Member Joined Apr 15, 2015 Posts 15 Reaction score 2 Jun 22, 2015 #1 LAPF huwa wanalipa mafao ya uzazi baada ya muda gani tokea ulipolipwa ya awali?
ben86 JF-Expert Member Joined Aug 31, 2009 Posts 264 Reaction score 143 Jun 22, 2015 #3 Mkuu unataka kuzaa kila mwaka upige hela acha hizo bhanaaa
Mwanyoro JF-Expert Member Joined Dec 11, 2014 Posts 636 Reaction score 460 Jun 22, 2015 #4 Haijalishi hata uzae kila mwaka but maximum 4 children ie Uzao Mara 4