Mimi nilikuwa mwalimu serikalini, nimefukuzwa kazi kutokana na utoro kazini. Kwa kipindi kirefu nilikuwa mwanachama wa mfuko wa pension wa PSPF nimechangia miezi arobaini.
Je, watanilipa pesa zangu? Na culculation inakuaje? Maana naambiwa kama nimefukuzwa kazi silipwi, msaada jamani.
Je, watanilipa pesa zangu? Na culculation inakuaje? Maana naambiwa kama nimefukuzwa kazi silipwi, msaada jamani.