Msaada: Maduka yanayouza laptop bei nafuu kwa Dar

Msaada: Maduka yanayouza laptop bei nafuu kwa Dar

RJ45

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2014
Posts
340
Reaction score
119
wakuu nina shida ya laptop mpya mbili zenye HDD 500GB ram 2GB au zaid.. pamoja na sifa nyingne! ni wapi nitapata kwa bei nzuri!
 
Unataka used laptop au brand

ila nenda pale uhuru kkoo kuna duka linaitwa uhuru computers wanauza
na ile barabara ya uhuru kuna maduka kibao wewe angalia kisha nunua unayotaka
au nenda mjini posta jengo la b. Mkapa kuna maduka wanauza pia
wakuu nina shida ya laptop mpya mbili zenye hdd 500gb ram 2gb au zaid.. Pamoja na sifa nyingne! Ni wapi nitapata kwa bei nzuri!
 
Unataka used laptop au brand

ila nenda pale uhuru kkoo kuna duka linaitwa uhuru computers wanauza
na ile barabara ya uhuru kuna maduka kibao wewe angalia kisha nunua unayotaka
au nenda mjini posta jengo la b. Mkapa kuna maduka wanauza pia

asante sana kwa msaada wako... nahitaji mpya sio used!!!!!
 
mpya 500,000 hadi 520,000 hio mitaa aliokutajia jamaa hapo juu.
 
Back
Top Bottom