Wakuu na wataalamu wa kiswahili naomba mnidadavulie maana ya Neno hilo!
Nimemsikia mkuu wa nchi akilitumia mara nyingi katka hotuba zake*yeye ni raisi wa Watanzania Wanyonge*
WANYONGE NI WATU WA AINA GANI HASWA?manesi,walimu,madaktari,waso na ajira au wakulima na wafanyabiashara?