Tumia bidhaa za Oriflame hutojutia.
Naweza nikakupa hata namba zao ukawa wakala wao huku unapendezesha ngozi huku unapiga mkwanja.
Mimi ni mwanaume ila natumia kuanzia mafuta ya ngozi, nywele, na deodorant zao ni firee ila uwakala naona wanafanya sana wanawake.