Msaada: Lipi duka zuri la laptop Arusha?

Msaada: Lipi duka zuri la laptop Arusha?

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,523
Reaction score
14,198
Wakuu naombeni kujuzwa duka
lenye laptop kwa wingi ili niwe na uchaguz wa laptop inayofaa
pia kama lipo lijulikanalo kwa bei afadhar kidogo na lile la bei ghali
 
Wakuu naombeni kujuzwa duka
lenye laptop kwa wingi ili niwe na uchaguz wa laptop inayofaa
pia kama lipo lijulikanalo kwa bei afadhar kidogo na lile la bei ghali

Nenda sound and Vision (Benson) bei zao ziko powa sana, tena kuna Laptop kunzia TSHS 490,000/-, 550,000/-, hadi millioni kadhaa. Laptop zao zote ni mpya na zina warranty ya mwaka mmoja na ni laptop kubwa sio mini laptop. brand walizo nazo ni samsung,HP,compaq,Toshiba,Lenovo.

Watu wengi hawaamini kwa sababu jamaa walikuwa na bei kubwa , ila sasa wameamua kuvunja bei za laptop na vifaa vya IT.

Go and then give me feedBack. kuna piece kama 200 hivi kwa sasa.
 
Jaribu na Compucat,nilinunua ya kwangu hapo mwaka juzi hadi leo natumia bila shida.
 
pitia Uhuru Computers, Compucat, au Galaxy Computers ,,
 
Nenda sound and Vision (Benson) bei zao ziko powa sana, tena kuna Laptop kunzia TSHS 490,000/-, 550,000/-, hadi millioni kadhaa. Laptop zao zote ni mpya na zina warranty ya mwaka mmoja na ni laptop kubwa sio mini laptop. brand walizo nazo ni samsung,HP,compaq,Toshiba,Lenovo.

Watu wengi hawaamini kwa sababu jamaa walikuwa na bei kubwa , ila sasa wameamua kuvunja bei za laptop na vifaa vya IT.

Go and then give me feedBack. kuna piece kama 200 hivi kwa sasa.

shukran sana
 
uhuru na Sound and vision nshapita zipo wap hizo duka nyingine?
galaxy computers ipo nyuma ya duka la Benson, barabara inayopandisha juu upande wa kushoto wa block ya benson..

03w4.jpg


Compucat ipo Round About ya kule BOT, pale kwa Mkuu wa Wilaya, upande wa kulia wa barabara inayoshuka chini kuelekea kanisa la mji kati.

ekgu.jpg
 
Nashukuru nmezunguka kote ila nmevutiwa sana na Sound and Vision so kesho baada ya swala ya Ijumaa ntaenda kuchukua TOSHIBA ya 515,000
 
Wakuu naombeni kujuzwa duka
lenye laptop kwa wingi ili niwe na uchaguz wa laptop inayofaa
pia kama lipo lijulikanalo kwa bei afadhar kidogo na lile la bei ghali

Nenda Sound and Vision pale wana laptop nzuri na wanaziuza kwa bei nafuu sana nadhani kuliko maduka yote Arusha.
 
Nashukuru nmezunguka kote ila nmevutiwa sana na Sound and Vision so kesho baada ya swala ya Ijumaa ntaenda kuchukua TOSHIBA ya 515,000

Vipi feedback mkuu kama ulichukuwa hebu tupe specs na sifa zake pliz.
 
nenda uhuru computers ..mitaa opposite na benson
 
Unatafuta printer sahihi kwako?Pita MICA COMPUTERS LTD arusha mtaa wa India street au piga simu namba 0755 733 357 kwa swali lolote linalohusiana na ICT Equipment.
 
Back
Top Bottom