Msaada line ya TTCL

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
42,782
Reaction score
50,889
Moja kwa moja kwenye ombi, naomba kufahamishwa, nimenunua line ya TTCL (SIM card) mpya lakini haifanyi kazi na simu Samsung GT-E1207Y wala simu yoyote ya button, lakini line za makampuni menngine zinafanya kazi na simu hizo, kwa wale waliotumia line za kampuni tajwa mme experience the same prob pale mlipotumia huduma hiyo na solution yake ni nini?
 
Kwanza lazima ufanye conf za internet, Kama simu yako ni line 2 hakikisha ttcl umeweka kwenye sim card 1, na internet connection iwe ni ttcl na iwe on. Ukiswitch off data nayo inajiswitch off
 
Kwanza lazima ufanye conf za internet, Kama simu yako ni line 2 hakikisha ttcl umeweka kwenye sim card 1, na internet connection iwe ni ttcl na iwe on. Ukiswitch off data nayo inajiswitch off


Nimejaribu Mkuu lakini haiioni kabisa line hata kama nikiswitch on
 
Nimejaribu Mkuu lakini haiioni kabisa line hata kama nikiswitch on
Kama simu yako ni zile za promoshen ambayo sim card 1 lazima iwe ya kampuni ya simu ulikonunulia hapo haitafanya kazi
 
line za ttck zinafanya kazi kwenye simu zenye 3g na 4g simu uliyotaja e1205y haina 3g hivyo haiwezi shika network

hii pia ni kwa line za smart
 
line za ttck zinafanya kazi kwenye simu zenye 3g na 4g simu uliyotaja e1205y haina 3g hivyo haiwezi shika network

hii pia ni kwa line za smart


Kwa hiyo hizi line ni maalumu kwa smart phones tu
 
Line za TTCL ni kwa ajili ya smart phones tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…