Hai respond kabisa nikiiturnoff hadi nichomoe waya wa adapter maana betri yake imekufa hivyo nikichomoa waya wa adapta inazima mojakwamoja,je tatizo ni nini na solution yake ni ipi maana ram yake ni 700MB na procesor ni 1.4 ghz
kwanza kabisa sijawahi ona laptop ina ram 700MB sa sijui hiyo yako ya wapi najua inakuwaga hivi 2,4,8,16,32,64,128,256,512,1GB nakadhalika.
Ila back to the topic kama mdau alivyo uliza watumia os gani maana nahisi tatizo litakuwa kwa os. Na je ukijaribu i turn off OS inaleta kitu gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.