msaada laptop toshiba sattelite l655

msaada laptop toshiba sattelite l655

motivater

Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
67
Reaction score
14
wadau mashine yangu inazingua,kuna mda nikiizima inazima fresh ila nikiiwasha haiwaki na hata taa za mbele haziwaki hata kama nikiconnect power taa za power haziwaki indicating dat betri haichaj,kuna mda nikiwsha inawaka ila nikisha zma tu,kuja kuwaka majaliwa. mwny idea plz
 
wadau mashine yangu inazingua,kuna mda nikiizima inazima fresh ila nikiiwasha haiwaki na hata taa za mbele haziwaki hata kama nikiconnect power taa za power haziwaki indicating dat betri haichaj,kuna mda nikiwsha inawaka ila nikisha zma tu,kuja kuwaka majaliwa. mwny idea plz


Mkuuu habari yako?? Pole sana.

Unaweza kuelezea tatizo lako kwa undani kidogo.. manake hapo binafsi naona kama una muingiliano wa matatizo kama matatu manne.. sasa kujua lipi linaanza na lipi linafuata kdg ni tatizo jingine..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom