Annonymous
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 448
- 799
Laptop yangu nikiiwasha mara ya kwanza inawaka ila haioneshi chochote ni taa zake2 zinawaka ila ile ya kusomeka kwa Hdd haiwaki nashikilia button ya power kisha inazima nasubiri kama sekunde 30 naiwasha tena inakubali kuwaka.
Ila tena nkiizima dakika hyo hyo nkaiwasha tena itagoma ntaizima nisubiri sekunde 30 naiwasha tena inakubali mchezo huo.
Wataalamu huo ni ugonjwa wa kitu gani wazee?
Ila tena nkiizima dakika hyo hyo nkaiwasha tena itagoma ntaizima nisubiri sekunde 30 naiwasha tena inakubali mchezo huo.
Wataalamu huo ni ugonjwa wa kitu gani wazee?