Ckia keanza kabisa toa betri na charge hapo, alafu uwanze kujaribu kitu kimoja kimoja
1 chomeka charge kwanza kwenye laptop ikiwa hakuna betri uwangalie kuwa charge yako kuwa inatisha moto au kuchaji vizuri
Ukishaliza hapo sasa unakwenda hatua ya pili
2 hatua ya pili ni kweka betri kwenye laptop yako unajaribu kuchaji kama uvyo charge cm yako ya mkononi. Je nikicharge betri yake inakaa muda gani
Hapo utapa tu jibu nikitu gani kibovu