Habari zenu wakuu.
Laptop yangu nikiiwasha inaniletea maandishi yafuatayo:
BOOMGR is missing...
Press ctr+alt+delete to restart
Tatizo ni nini hapo wakuuu
Simple sana ku solve hii! Tatizo hujawa detailed kwanza ni windows gani?Habari zenu wakuu.
Laptop yangu nikiiwasha inaniletea maandishi yafuatayo:
BOOMGR is missing...
Press ctr+alt+delete to restart
Tatizo ni nini hapo wakuuu