msaada kwenye wi-fi

msaada kwenye wi-fi

mankachara

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2013
Posts
6,161
Reaction score
3,495
habari za jioni wakuu, poleni na kazi, natumia samsung galaxy 5 (s5) tangu jana simu yangu imekumbwa na tatizo la kuwaka wi-fi automatic. naomba mnisaidie jinsi ya kuondoa hilo tatizo
 
jaribu kudownload 3rd party apps za kuZima wifi playstore wakati unatafuta tatizo limeanzia wapi. search wifi off playstore
 
Back
Top Bottom