Msaada kwenye usajili TCU

Msaada kwenye usajili TCU

umakini upo mkuu mbona niliweza kufaul mtihan, sema imetokea kwa bahat mbaya tu

Sasa kwa mistake hiyo ndogo tu umeingia kwenye mlolongo mkubwa sana usiotarajia..kama umeclick course unpriority unaweza usipate mkopo,kama course ujaipenda transfer itakucost muda na pesa,
 
Mbona ktk list ya vyuo vyenye nafasi duce haipo ila mwaka huu competition ilikuwa kubwa mno mfano education ud walijaza watu zaidi ya 2800 na capacity haifiki 1200
Mr. Mangi, usipotoshe...DUCE ilikuwepo tokea jana waliporealese net hadi kufikia saa 4 asubu leo. ila kwa sasa imejaa
 
Last edited by a moderator:
Mr. Mangi, usipotoshe...DUCE ilikuwepo tokea jana waliporealese net hadi kufikia saa 4 asubu leo. ila kwa sasa imejaa
najaribu kufungua CAS inakua problem kufunguka ,nini tatizo? na itakaa poa mda gan
 
Last edited by a moderator:
Kwel kaka najua jinsi gani inaumiza moyo mana mwenyewe last year nilitemwa kwny first round .ni sheeda yan
jaribu option ya remove selection kuna jamaa yake inampeleka hadi sehemu ya ku remove selection,i think uki proceed utafankwa
 
Granted Peter may be network ila mimi kwangu inafunguka coz nimetoka kuwajazia ndungu zangu muda si mrefu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom