Afande Fojuman
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 657
- 548
Wakuu nimefanya second round kwa bahati mbaya nikachagua chuo ambacho sio sahii; nawezaje kubadilisha ili nichague chuo kingine?
Second round huwa haina kubadili yaani ni gusa unate
du, kwa io ndo ishakula kwang ivyo
Labda usubirie transfer mkuu nadhani watatoa muda hapo baadae baada ya selection za vyuo kutoka pole sana mkuu
TCU wanazingua ukikosea kidogo kujaza inakula kwako
Wakuu nimefanya second round kwa bahati mbaya nikachagua chuo ambacho sio sahii; nawezaje kubadilisha ili nichague chuo kingine?
jaman naomben msaada, 1s round nilichagua duce bachelor of scince with education kama chaguo la pili ila jana majina ya ambao hawakupata yalipotoka na langu lipo lkn nashangaa duce bado haijajaa,mm ni pcb,performnce ni DCB respectively
inagoma mkuu, hakuna njia nyingine
mkuu we chagua tu kingine fasta kabla na vingine havijajaajaman naomben msaada, 1s round nilichagua duce bachelor of scince with education kama chaguo la pili ila jana majina ya ambao hawakupata yalipotoka na langu lipo lkn nashangaa duce bado haijajaa,mm ni pcb,performnce ni DCB respectively
kama unaiona basi ichague then uone kama itakubalimbona mm kwenye list naiona duce mkuu?niki click kwenye 2nd round naiona duce ipo,hapo inakuaje?alaf saiv cas inazingua haifunguki tena
kwani we umeomba chuo gani?? na chuo kipi ambacho ulitaka kuomba kwenye second round??
asante mkuu, ila naumia moyo kichiz