Msaada kwenye tuta

"Baada ya kuingiza machine, na kupiga tako kadhaa , ndio tukaona damu"
 
1. Homa ya ini (Hepatitis), VVU etc.. kwa sababu umekuwa exposed kwenye bodily fluids/biofluids.

2. Uwezekano upo japo ni mdogo sanaaa (almost negligible).

3. Possibility inaongezeka especially kama una mchubuko/kidonda (port of entry).

4. Inategemeana na mzunguko wake hedhi. Wale wa siku 21, siku za hatari zinawahi kufika ukilinganisha na wale ambao mizunguko yao huchukua siku 28-35

NB: Ukitoa suala la hygiene, kama afya zenu zipo vizuri na hamna kinyaa , hakuna shida yoyote kufanya sex wakati wa period. Infact inamsaidia hata mwanamke interms of mood (mood stabilizer) kwa sababu ya vichocheo ambavyo mwili huvitoa wakati wa tendo.
 
Mkuu asante kwa majibu mazuri. Inaonekana ndio field yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…