Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 5,873
- 10,370
Kwa kijumbe una madeni,pono mpaka vpn,mungu kakunyima suraaa,kakupa komwe hauna churaaaa
YATAPITA TU~MISO MISSONDO
YATAPITA TU~MISO MISSONDO
Daktari unayemtaka hayupo, nenda hospitali inayoeleweka wakufanyie vipimo sahihi siyo zile za Arafa.Madaktari msaada tafadhal, Nini shida hapa na Nitumie dawa Gani maana Nisha chomwa injection kama gentamicin na penadol lkn Bado Ngoma ngumu,.
Hili lilikwisha eksipaya miaka ya sabini wakati wa Penibritani.GENTAMYCINE mwenyewe kwani anasemaje?
Umepatia👏umekula kula kavu sasa deal na utonvu
Vijana wa kileo ni wakuwasikitikia.umekula kula kavu sasa deal na utonvu
hiyo ni gono,nenda hosp usitumie dawa hovyohovyoMadaktari msaada tafadhal, Nini shida hapa na Nitumie dawa Gani maana Nisha chomwa injection kama gentamicin na penadol lkn Bado Ngoma ngumu,.
Naona mdau umesahau sifa moja wapo ya mashoga ni kuwa calm,yaani utakasirika wewe lakini lenyewe linakuja bado limepoa.Sihangaiki na vidonda mm
😂 Ndio umenifungua akili mkuu ahsante sanaNaona mdau umesahau sifa moja wapo ya mashoga ni kuwa calm,yaani utakasirika wewe lakini lenyewe linakuja bado limepoa.
Uwage unawapuuza tu hawa.
Unaminyana na shoga!Pumbavu kabisa ndio akili Yako na WATOTO wako watakuwa kama wew
Kwanzaa sikujibu tena ntapoteza muda wangu.
Maza faka
Magonjwa mengine ni uchafu tu wa kuzama kila shimo ...Watu wengine damu zao chafu sana ila bado mtu anataka kuzama kila shimo.Mambo yenyewe ndiyo haya,maradhi kila kona kaka zenu tukiwaambia oweni mnatuona sisi hatuna akili!
Jamiiforums hata kama madktari wapo hata kama wanajua dawa ya kukusaidia watakushauri vipi wakati hujafanyiwa vipimo?nenda hospital.
Bawasir yako bado inakusumbua?GENTAMYCINE mwenyewe kwani anasemaje?