MSAADA KWENYE TUTA

coco bella

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2016
Posts
305
Reaction score
315
Nimepata safari ya kwenda Maeneo ya KINGORWILA, MOROGORO kikazi lakini mwenyeji wangu ananiambia guest zote zimejaa hivyo inabidi nipitilize mjini na inavyoonesha nitafika usiku sana naomba msaada kwa aliyeko Morogoro mjini anisaidie kuniangalizia lodge nzuri kama mnavyojua weekend imeanza nahofia kukosa pa kulala!!! Nahitaji msaada kiukweli!!!! Ahsante
 
Mtumie pesa akuchukulie kabisa ukifika usipate tabu na uvivu wako.
 
Hata iweje hauwezi kukosa sehemu nzuri ya kulala ukiwa maeneo ya msamvu au nane nane.
 
WE FIKA HUKO MORO GORO acha uvivu

usije kulia lia kesho umetapeliwa

Ntakuzabua mkofi mmoja hutoamini
Dah huyu jamaa ana pretend au ndo kweli wapo watu wa aina hii mpaka Leo?
 
Dah huyu jamaa ana pretend au ndo kweli wapo watu wa aina hii mpaka Leo?
hata hatufahmu mkuu

yawezekana yuko serious

watu wa hivi wapo hawaishi na tunavyoandika hapa

kuna mwingine anazaliwa huko
 
Guest zipo nyingi sana Msamvu na km unataka yenye ubora utaipata tu .
 
Kwani wewe niwaziri mkuu unakuja kuchukua report yachomoa betr?
 
Magunila Guest House inalufaa, fika Kihonda uliza....
 
kama muislam,basi ni vizuri ukafikia msikitini!!
 
Kuna bar pia ina guest bei affordable kwa kila mtu ni Kali ni bar moja ya kimataifa inaitwa kahumba hakika hutojuta kufika pale hajawahi kujaa
 
Unajua kila mtu Na anavyoweza kumjaji mtu kwenye maisha haya mimi jana nilikuwa nasafiri usiku na nilikuwa peke yangu ndio maana nikaomba msaada wa dharura kwasababu ilishawahi kutokea siku moja nimeshuka mjini saa 5 nikakosa pa kulala kwa sababu kwa Morogoro mimi sio mwenyeji kabisa ila nashukuru nilipata msaada kwa usiku ule. Halafu mtu mpaka anaomba msaada ni kwamba amekwama tusipende kuwa negative muda wote haipendezi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…