Nina miaka 33,nimeoa ndoa ya kikristo miaka 5 ilopita,na nina watoto 2. Nashindwa kujua tatizo langu ni nini,mke wangu ni mrembo wa sura,ananipenda na namwamini kuwa hana mtu nje,lkn kwa kweli mnimekuwa mtu wa tamaa sana kwa warembo wa nje kiasi kwamba naahisi kama nina pepo hivi. Swali hasa kwa wanaume waliooa,(wenye uzoefu ndoani)hivi hii ni kwangu tu au nao walipita stage hii? Na je nawezaje kutocheat? Na je wanaume walioko ndoani (km mm) wanaweza kuwa na mke wa ndoa tuuu? bse mimi naona mtihani kwelikweli na kama mtu ataona binti ninayetoka naye nje ya ndoa atashangaaa,labda ataona bse of her master's degree... (Kama hujisikii kuchangia just leave it,sio unze ku-provoke hapa)