Msaada Kwenye Simu Yangu TECNO Camon C9

Msaada Kwenye Simu Yangu TECNO Camon C9

muvika online

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2016
Posts
374
Reaction score
283
Wadau Nina Simu Yangu ya Tecno C9 sasa Leo Nimeifanyia Factor Reset Baada ya Kumaliza Nikaiwasha, sasa Kwabahati Mbaya Inaniomba Email Iliyokuwepo na Mimi Sihikumbuki Kwani Simu Nilinunua Njiani Tu Kwa Mtu, Msaada Tafadhali Nafanyeje Hapo.

cc Chief-Mkwawa
 
Sasa hata hilo la kufungua gmail hujui mzee...Nmegundua watu kama wewe ndio wanasababisha vijana kuendelea kurundikana kariakoo bila shughuli maalum
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom