habari wakuu...natumia simu ya huawei u8650 but tatizo ni kwamba nikitaka kuangalia video online kupitia website mbalimbali inakua ina goma Goma(scratch ) na mda mwingine blogger anaweza sema kuna link ya kuona video flan link hyo m nakua siioni kabisa ...namini jf ndo kmbilio la wengi naamin naomba mnisaidie....you tube hamna shida ...n.b natumia opera mini na Uc browser ..asanteni sana.