So ninaweza kwenda tigo au voda niwaeleze shida yangubaadhi ya ISP apa tz wanakupa izo public (ikiwa static) kwa tozo flani
Unapata Internet kwa isp gani ?So ninaweza kwenda tigo au voda niwaeleze shida yangu
I ISPUnapata Internet kwa isp gani ?
TigoUnapata Internet kwa isp gani ?
Lengo langu ni host website yangu pamoja na websites za wengine bila kutumia servers za wengine... zaidi ya hapo kama ISP wako anafanya NATing yaani watumiaji wengi wanatumia public IP moja basi hautaweza kufanya hiyo njia niliyotoa kwa kuwa public IP sio yako tu. Labda ungesema lengo lako ni nini haswa tungekupa mbadala.
Gharama ya kununua public static IP address inaweza ikarange kiasi gani? Na je hakuna ways ambavyo ukasubnet hiyo IP moja?Kwanza hiyo IP 192.168... ipo kwenye private range haitakuwa accessible nje ya network yako, ndo maana wewe unaweza ukawa ma 192.168.43.1 na mimi naweza nikawa na hiyo hiyo kwenye network yangu bila kuwa na tatizo lolote kwa kuwa zipo local kwenye network zetu.
Pili hauwezi kujipa public IP address mwenyewe fikiria kila mtu angeweza kujipa address anayotaka ingekua fujo tupu.
ISP wako anakupa public IP address unaweza kuiona ukigoogle what is my ip adress, tatizo la hii IP ni dynamic yaani inaweza kubadilika wakati wowote kutegemea na ISP wako anavyofanya kazi, ao itabidi umwelekeze mtumiaji aweke IP mpya kila wakati. Kama kweli una haja ya kurun server yako mwenyewe kuna ISPs wanaweza kukuuzia static IP ila gharama yake itazidi kutafuta server ya hosting.
Pia utahitaji kukonfigure router yako kuruhusu connection kutoka nje.
Angalia Making your local server accessible from anywhere | A web developer's blog
Gharama ya kununua public static IP address inaweza ikarange kiasi gani? Na je hakuna ways ambavyo ukasubnet hiyo IP moja?Kwanza hiyo IP 192.168... ipo kwenye private range haitakuwa accessible nje ya network yako, ndo maana wewe unaweza ukawa ma 192.168.43.1 na mimi naweza nikawa na hiyo hiyo kwenye network yangu bila kuwa na tatizo lolote kwa kuwa zipo local kwenye network zetu.
Pili hauwezi kujipa public IP address mwenyewe fikiria kila mtu angeweza kujipa address anayotaka ingekua fujo tupu.
ISP wako anakupa public IP address unaweza kuiona ukigoogle what is my ip adress, tatizo la hii IP ni dynamic yaani inaweza kubadilika wakati wowote kutegemea na ISP wako anavyofanya kazi, ao itabidi umwelekeze mtumiaji aweke IP mpya kila wakati. Kama kweli una haja ya kurun server yako mwenyewe kuna ISPs wanaweza kukuuzia static IP ila gharama yake itazidi kutafuta server ya hosting.
Pia utahitaji kukonfigure router yako kuruhusu connection kutoka nje.
Angalia Making your local server accessible from anywhere | A web developer's blog
Waulize kama wanaweza kukupa public ip addressTigo
So what is the solution?Mkuu mitandao ya 3G/4G huwa inablock incoming connections zote kutoka nje ya mtandao wao kwahiyo mtu outside Tigo kukupata kwa public IP yako inashindikana, lakini mtu anayetumia Tigo anaweza. Hili nilishawahi kulifanya kama jaribio.
Hata hivyo unaweza kutest kama computer yako inapatikana kwenye internet kwa kutumia huduma kama canyouseeme.org kwa kuingiza public IP yako (inakuwa autofilled pale) na port ya hiyo webserver/service yako (80 or ???)
Tumia ISP wenye static public IP na wanaoruhusu hosting servers. Jaribu SimbaNET ila sina uhakikaSo what is the solution?
OK thanks.Tumia ISP wenye static public IP na wanaoruhusu hosting servers. Jaribu SimbaNET ila sina uhakika