Hukusoma au ulisoma hukuelewa, hata alama kwenye picha huelewi?! Mnasubiri nini zaidi?
Angalizo:
Kwa yeyote mwenye ukumbusho wa picha ya Zitto akiwa amenyoosha vidole viwili (Alama inayotumiwa na CHADEMA) aihifadhi vizuri kwa ukumbusho wa vizazi vijavyo. Mtandaoni cached nyingi zimekwishafutwa!
Mkulu Ndibalema,
Mzima Mkuu wangu, za takribani maika minne na ushee? .....Nakusalimia tu na kutaka kujua kama bado una mashaka na afya ya ubongo wangu!
Mkulu Ndibalema,
Mzima Mkuu wangu, za takribani maika minne na ushee? .....Nakusalimia tu na kutaka kujua kama bado una mashaka na afya ya ubongo wangu!