Msaada kwenye hili wapendwa

Hayangeee

Member
Joined
Apr 18, 2014
Posts
6
Reaction score
3
Nina dada yangu ameresit mtihani wa kidato cha nne mwaka jana. Amepata DIVISION IV 26 akiwa na C mbili, D tano na F moja. Anahitaji kusoma UWALIMU wa primary. Je, anaweza akajiunga chuo cha serikali?, kama anaweza ni jinsi gani ya kujiunga huko. Lakini pia kama hawataruhusu serikalini, je akisoma private ajira haitasumbua?

NAOMBA MSAADA, ELIMU IMENIPITIA MBALI NAHISI KUMPOTEZA DADA YANGU
 
Subiri NACTE watoe mwongozo, ndipo ufanye uamuzi sahihi maana hii nchi kilakukicha taratibu zinabadilika.
 
I am sure chuo cha serikali watamchukua, lakini kimbembe kipo kwenye kupata nafasi
 
nacte wamefungua mfumo tiar chek vgezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…