Siku hizi nikiweka modem bando ninayonunua ya mwezi 1Gb haimalizi mwezi inakata cjui tatizo. Wakati zamani lilikuwa linabaki. Msaada wenu nahisi kunavitu vinaji update mara nnapoingiza modem
Siku hizi nikiweka modem bando ninayonunua ya mwezi 1Gb haimalizi mwezi inakata cjui tatizo. Wakati zamani lilikuwa linabaki. Msaada wenu nahisi kunavitu vinaji update mara nnapoingiza modem
Siku hizi nikiweka modem bando ninayonunua ya mwezi 1Gb haimalizi mwezi inakata cjui tatizo. Wakati zamani lilikuwa linabaki. Msaada wenu nahisi kunavitu vinaji update mara nnapoingiza modem
kama ni windows XP, try kuchek hizo windows updates, au saa hizo kunaweza kukawa hakuna tatizo lakini ww mwenyewe ukawa umeongeza usage ya internet, which can be very true...
Try kuzim auto matic updates....n sme times..kama kun backdoors..nao huchangia usage ya bundle...uki connect modem hebu check mshale wa upload kam unaenda sana..if so jua kun some backdoors...scan wadud n watoe