Mkuu hiyo pc unayotumia ni yako au umegongea? Na kama ni ya kugongea hebu mwombe mwenye nayo akufungulie kwa password administrator account au run hizo program as administrator zitafanya tu mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.