Ritchy Breezy
JF-Expert Member
- Dec 9, 2020
- 387
- 578
- Thread starter
- #61
mficha ugonjwa kifo humuumbua mkuu..kipi kgeni na cha ajabu apohuoni aibu kusema maneno hayo mbele ya wanaume wenzio
mficha ugonjwa kifo humuumbua mkuu..kipi kgeni na cha ajabu apohuoni aibu kusema maneno hayo mbele ya wanaume wenzio
Umekagua ARV's kwenye droo zake?Kujibinua binua kote nliishia kuona tight tu wakuu..roho inaniuma sana nawaza mbinu gan ntmie sabb nkisema nimuapproach kwa jinsi tlivyozoeana hatonielewa ataona kama nmechanganyikiwa
na ikitokea nimemla stoenda chuo wiki 1 kusheherekea ushindi..
naombeni msaada wa mbinu mabaharia..hatumii pombe
note:anamjua mtu wangu kwani ashagawahi kuja maghetoni,lakn pia ashaniambia yupo kwnye mahusian na jamaa flani ambae wako na plan ya kuoana..
mwsho.
chagua moja kusuka au kunyoa...mficha ugonjwa kifo humuumbua mkuu..kipi kgeni na cha ajabu apo
Piga panenka dogo kipa anaonekana mbovu huyootuta la kuamua matokeo waga ni gumu mno mkuu,bdo nina nafasi ila kabla sjatengeneza hayo mazngra nataka npate skills zaid