Msaada kwa watafsiri wa ndoto za usingizini

Msaada kwa watafsiri wa ndoto za usingizini

Mkenye Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
218
Reaction score
402
Kwa mara kadhaa zisizopungua tatu na zikiachana kwa muda wa zaidi ya mwaka mmoja nimekuwa nikipata ndoto mbaya sana zinazopelekea kukosa usingizi hadi asubuhi.
Kuna muda huwa nawaza huenda huwa najisahau kusali pale ninapopitiwa na usingizi lakini pia kuna muda huwa nafikiri namna ya kulala pia inachangia aina ya ndoto mtu anazoota.
Kwa mwenye ufahamu juu ya hili suala naomba anisaidie tafadhali.
 
unaogopaje Ndoto sasa ..?
movie za kutisha nazo ukiangalia unaogopa 😂😂
 
Back
Top Bottom