Msaada kwa wataalamu wa mitihani ya PC (Private candidates)

Msaada kwa wataalamu wa mitihani ya PC (Private candidates)

NABII ELIAH

Member
Joined
Oct 25, 2022
Posts
14
Reaction score
6
Hello

Screenshot_20221025-171050.jpg
 
Wakuu naomba msaada kwa wataalam wa PC hivi ukiidownload entry form ya pc halafu ukaruka baadhi ya details kujaza mfano kwa hio form tumejaza kila kitu sasa tumedownload tayari tumesahau baadhi ya vitu mfano post name na receipt number je tunaweza zuiliwa kupewa namba ya mtihani mwakani kwa kigezo hicho?

Naomba tupewe jibu mapema ili tujue Kama Ni kesi nzito basi tukafanye Marekebisho , form yenyewe ndio hio kwenye miduara ya rangi nyekundu ndio hizo details tulizoruka ahsanteni.

View attachment 2397633
Kwa uzoefu wangu hakuna tatizo lolote hapo namba yako ya mtihani utapewa mwakani mwezi wa tatu tarh Kuanzia 15s 2023

Hapo piga kitabu ili ufike chuo kikuu ujionee watoto wa chuo wanavyopata degree za mchongo na kuhitimu na Aids
 
Kwa uzoefu wangu hakuna tatizo lolote hapo namba yako ya mtihani utapewa mwakani mwezi wa tatu tarh Kuanzia 15s 2023

Hapo piga kitabu ili ufike chuo kikuu ujionee watoto wa chuo wanavyopata degree za mchongo na kuhitimu na Aids
Asante sana mkuu
 
Hivi ni kila shule inakubali chukua PC?

Je kama mtu kamaliza zamani atakubaliwa?
 
Hivi ni kila shule inakubali chukua PC?

Je kama mtu kamaliza zamani atakubaliwa?
Inawezekana Mkuu
Cha muhimu uwe na C 3 katika mtihani wako wa Necta form four

Usajili wa private candidate (PC)
Unatafuta kituo au center Ambazo zipo katika maeneo yako uliopo .. unapewe kitu kinaitwa (Reference number) then unafanya usajili kwa njia ya mtandao ...
 
Mfamo mimi nina Div. 3 kwenye combi nina CCD, Je hapo naweza kufanya mtihani wa advance kama private candidate? O level nilimaliza 2013... help me plz
 
Back
Top Bottom