Msaada kwa Wataalamu wa Excel

Kama upo ofisini na umewekwa kimkakati na uncle au shemeji bora uresign tu.

Nyie ndio mnaoziba nafasi za wenye vyeti halali na ufanisi kupewa ajira maofisini.

Kamanda Sirro njoo uanzie huku!
 
Kama upo ofisini na umewekwa kimkakati na uncle au shemeji bora uresign tu.

Nyie ndio mnaoziba nafasi za wenye vyeti halali na ufanisi kupewa ajira maofisini.

Kamanda Sirro njoo uanzie huku!
hahahahah mim nimejiajir mjomba hii nifanya tu kudhibit wiz idiot mwiz mwenyew
 
hahahahah mim nimejiajir mjomba hii nifanya tu kudhibit wiz idiot mwiz mwenyew
Sasa umejiajiri without skills? Kama una mteja si umemchomesha sana hindi kukusubiri kaunta umfanyie kazi yake.?

Acha hizo rudi shule kamalizie hiyo program ya Ms Excel.
 
hahahahah mim nimejiajir mjomba hii nifanya tu kudhibit wiz idiot mwiz mwenyew
weka column g, f, na h kwanza kwenye # format moja drag formula angalia jibu elekeza tofauti tu fix cell kutatua tatzo kwa ujumla.

++hata 200000 haikutakiwa kuwa kwenye formula++
 
weka column g, f, na h kwanza kwenye # format moja drag formula angalia jibu elekeza tofauti tu fix cell kutatua tatzo kwa ujumla.

++hata 200000 haikutakiwa kuwa kwenye formula++
sijaelewaha hapo mkuu kbs umeniacha boss
 

Kulingana na maelezo yako cheki formula hapa chini, unachofanya ni kuweka figure zako kwenye expenses, debit, credit drag cell I na J itakuwa jibu kwenye cash flow na ndio balance yako itakayokuwa imebaki Bank.


 
Unajichanganya mwenyewe kwenye hii excel yako. Njoo PM nikusaidie.
 
Ukiingia excel pale kuna kitu kinaitwa help, kitakusaidia kila kitu na jins ya kuandika formula itakuelekeza
 
Kulingana na maelezo yako cheki formula hapa chini, unachofanya ni kuweka figure zako kwenye expenses, debit, credit drag cell I na J itakuwa jibu kwenye cash flow na ndio balance yako itakayokuwa imebaki Bank.


View attachment 366260
duuuuh hi formula yako sio kbs mana yangu inaunganisha debit na credit tu hakuna expenses
 
duuuuh hi formula yako sio kbs mana yangu inaunganisha debit na credit tu hakuna expenses
Hiyo ni yako, yangu inaonesha expenses kama mleta hoja alivyoelezea kwenye thread yake. Kinachofanyika ni kuweka item zile unazotaka against column.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…