Damy Scotty
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 717
- 453
Habari wadau!
Msaada kwa mtaalam wa hiz apple products..natumia iPhone5 ila huku nliko 3G haikamati (kijijini) so, iko slow sana kias kwamba hata tecno inaizid kwa speed sijajua kwann inakua hiv!
Anaejua tafari
Natanguliza shukran zang za dhati 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
Msaada kwa mtaalam wa hiz apple products..natumia iPhone5 ila huku nliko 3G haikamati (kijijini) so, iko slow sana kias kwamba hata tecno inaizid kwa speed sijajua kwann inakua hiv!
Anaejua tafari
Natanguliza shukran zang za dhati 👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿