Hivi inawezekana kwa daktari kuweza kung'amua kua unamatatizo au huna tatizo la moyo kwa kufanya vipimo vya damu tu na kusikiliza mapigo yako ya moyo?kama ni kweli ni vipimo gani hvyo vya damu ambayo atavipa priority kwenye kung'amaua tatizo?naomba kuwasilisha.