Msaada kwa wanaopokea malipo kwa wire transfer

Msaada kwa wanaopokea malipo kwa wire transfer

AVO28

Senior Member
Joined
Jan 4, 2018
Posts
140
Reaction score
240
Wakuu naomba kuuliza kwa ambao wanafanya blogging na online jobs na ambao malipo hupata kwa njia ya Wire transfer je ukitumiwa commission yako kwa njia ya wire ili kuipokea kwa bank ya tanzania unahitajika swift code ya bank pesa iliko toka?

Maana jana nimetumiwa payment yangu, niliwapa swiftcode ya CRDB na acc namba yangu jana wakatuma hyo payment lakini leo nimeenda kucheck nakuta haijaingia na nimeuliza pale customer care wanasema nahitajika niwambie walionitumia pesa wanipe swift code yao ili kuverify transction hyo. je na nyie mshakutana na hili maana ndiyo mara ya kwanza kupokea pesa kwa njia hii hivyo sijui taratibu zikoje.

Jamaa walionitumia hyo commission wamenitumia commission statement tu na hain swift code.
 
Inaweza ikachukua siku kadhaa so subiri kidogo.
Sijawahi kuombwa Swift code ya mtumaji, labda kama ni utaratibu wa CRDB, ukicontact support ya hiyo service unayotumia watakupa.
 
be patient , wait for a couple of days(at least a week)...your money(cash) is still there..😀😀
 
Inaweza ikachukua siku kadhaa so subiri kidogo.
Sijawahi kuombwa Swift code ya mtumaji, labda kama ni utaratibu wa CRDB, ukicontact support ya hiyo service unayotumia watakupa.
Poa mkuu nimesha contact na jamaa watanitumia niende nayo CRDB nione itakuaje
 
Back
Top Bottom