S subash Member Dec 30, 2011 75 36 Nov 24, 2012 #1 Namshukuru Mungu wa mbinguni kwa kutupa siku nyingine tena. Ninaomba wataalamu wa mambo ya mimea wanisaidie aina ya miti inayofaa kwa kivuli ambayo haina athari kwa ukuta hata kama ikiwa karibu na nyumba. Naomba kuwasilisha.
Namshukuru Mungu wa mbinguni kwa kutupa siku nyingine tena. Ninaomba wataalamu wa mambo ya mimea wanisaidie aina ya miti inayofaa kwa kivuli ambayo haina athari kwa ukuta hata kama ikiwa karibu na nyumba. Naomba kuwasilisha.