Namshukuru Mungu wa mbinguni kwa kutupa siku nyingine tena. Ninaomba wataalamu wa mambo ya mimea wanisaidie aina ya miti inayofaa kwa kivuli ambayo haina athari kwa ukuta hata kama ikiwa karibu na nyumba. Naomba kuwasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.