Msaada kwa wanajua hili

subash

Member
Dec 30, 2011
75
36
Namshukuru Mungu wa mbinguni kwa kutupa siku nyingine tena. Ninaomba wataalamu wa mambo ya mimea wanisaidie aina ya miti inayofaa kwa kivuli ambayo haina athari kwa ukuta hata kama ikiwa karibu na nyumba. Naomba kuwasilisha.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom