Msaada kwa Wanachama wa LAPF

Ukiweza nenda Dodoma, kaonane na mkurugenzi au hata zonal manager kwenye kanda uliyopo.

Ina maana nikifunga safari kwenda Dodoma nitalipwa kutokea huko huko Dodoma? Jamani kwa yoyote mwenye ushuhuda juu ya hili tujuzane.
 
nachojuwa hapo mkuu shemeji yetu akipata tena ujauzito aende Lapf atapewa msaada ikiwa ni pamoja na kuchangia sehemu fulani fedha. Na anatakiwa kuwa mwanachama
 
Hii mifuko tofauti na fao la kujitoa huduma nyingine ni wasanii tu.
 
Kuwaogopa waajiri...hili ni tatizo lao sugu (khaaaa)
 
Ina maana nikifunga safari kwenda Dodoma nitalipwa kutokea huko huko Dodoma? Jamani kwa yoyote mwenye ushuhuda juu ya hili tujuzane.

Inabidi ufanye uamuzi wa busara, imagine mhusika ndo anasumbuliwa hivyo, akiwa mrithi je......................
 
LAPF siku hizi matangazo kibao kwenye media, lakini kulipa pesa za watu ni ishu! Wanadai ndani ya siku 30 unalipwa, wapi!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…