Jodeo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 1,286
- 1,332
Natumai hamjambo wote mliofunga na msiofunga.
Naomba kujuzwa kwa wanaofahamu, nilikuwa nafanya kazi na kampuni moja huku Mwanza ambayo makao makuu yapo Dar.
Baada ya kuacha kazi nimejaribu kufuatilia mafao nikiwa huku Mwanza, maofisa wa NSSF wakanambia kwa kuwa michango yangu ilikuwa ikiwekwa tawi la Temeke inabidi nifungue madai Temeke na siyo Mwanza.
Swali: Huu utaratibu ndiyo wenyewe au vipi? Na NSSF kama mnaisoma hii thread kwa nini mmeweka utaratibu uchwara namna hii ( kama ni kweli)?
Naomba msaada wenu kama hii procedure iko sawa.
Naomba kujuzwa kwa wanaofahamu, nilikuwa nafanya kazi na kampuni moja huku Mwanza ambayo makao makuu yapo Dar.
Baada ya kuacha kazi nimejaribu kufuatilia mafao nikiwa huku Mwanza, maofisa wa NSSF wakanambia kwa kuwa michango yangu ilikuwa ikiwekwa tawi la Temeke inabidi nifungue madai Temeke na siyo Mwanza.
Swali: Huu utaratibu ndiyo wenyewe au vipi? Na NSSF kama mnaisoma hii thread kwa nini mmeweka utaratibu uchwara namna hii ( kama ni kweli)?
Naomba msaada wenu kama hii procedure iko sawa.