Msaada kwa walio kwenye uchumba na wazoefu

Kwa mm niaona password za mitandao ya kijamii si sheria kupeana so just wait mpaka mkiwa na mutual agreement na mkiona ni vyema hakuna wa kuwakataza. Just know kwamba inaboa unapochat na mtu halafu unafunguka kumbe sie mwenyewe uneyechat naye(such a betrayal!) yani what if wake zetu ni marafiki then mm nakuomba ww ushauri wa kiumeni then kumbe nilikuwa nachat na mkeo, kisha anamtell wife....can u imagine how ridiculous is that?
Kuhusu bank mara mkitoka tu honeymoon muweke mambo yote hadharani na mpange ni vipi mtakabiliana na haya maisha..nyie ni kitu kimoja. MM naona mkeo has to know all about your finances and so is the husband...Can u imagine ww umepatwa na tatizo ghafla una hela bank na mkeo hajui atazitoaje ili akusaidie?(she doesnt even know zipo in the first place!)
 
mi naona kama muoaj mwenyewe ni wewe mana hayo maswal yamekaa kiwewe vile.Tambua kuonyesha upendo wa ndoa si paswed wala kubadilishana simu.hakikisha unapata mafunzo vizuri kuhusu ndoa na upendo
 
password duh hahahaha hao hawana nia na ndoa maan kuna meng yanawez kusababisha kutokufunga ndoa. . mambo ya bank na other investment yanaweza kujadiliwa baada ya ndoa tena baada ya kuishi kwa miaka kadhaa
 
Kama Ushafikia wakati mmeshakuwa wachumba ndio wakati mzuri sana wa kuwekana wazi ktk kila jambo sababu mmeshakua moyo mmoja na mnakalibia kuwa damu mmoja na kama mnashindwa kuwa wawazi ampendani mimi ni bwana mdogo sana nina girl friend wangu tumewekana wazi kwa kila kitu hivyo we have peace and love by mudy
 
Kinachonichekesha hapa siku zote eti utasikia rafiki yangu bla bla bla bla......ni kwa nini msiwe mnasema ni ninyi wenyewe ndio wahusika!!??
 
Kwani ni lazima ku badilishana hivyo vitu..??
Anyway ni juu yao siku wakiamua kubadilishana
Hakuna muda muafaka wa vitu kama hivyo ..samahani :hand:
 
...kitu kishaitwa "password"....why need it...? Ili iweje..?
Mie binafsi sihtaji hata faham ana account ngap mtandaoni...
 
Mpaka ntakapopenda mimi binti ila cshurutishwi na ndoa wala nini kama bank tufungue ya pamoja ya nini kuulizana balance,kwa kweli mimi sijamwambia chochote,
 
no no, kwanini anataka matatizo , mm nahis asitoe pw , kwan mambo mengine yatamletea issue baadae watu wanaachana unajua kisa sehemu kama hiz za chat room ? bcz watu watakusemea ovyo ,then ooh wanawake zako au bwana wako, when sio issue.
 
Talking from experience,kupeana mi passwords ni kujitafutia mitafaruku isiyo na maana.Mnapendana ndiyo,thats fine,but you still need some privacy.

thats true, halafu pia sio lazima ila ni makubaliano yao tu kama wanaaminiana huku kuchunguzana kwingine hakuna maana, mimi naamini kama mtu amefikia stage ya kuamua kuingia kwenye ndoa ni dhahiri kwamba hawezi kufanya ujinga hata kwenye mitandao, na kuhusu suala la akiba ya bank pia sidhani kama ni ishu sana maana chocho mnachotaka kufanya ni lazima mjadili wawili mezani, asisumbue kichwa sana kuhusu hayo maswala unless inapobidi
 
binafsi mimi sijawahi kumwambia feancee wangu password zangu wala hajawahi kuniuliza ila yeye huwa ananituma bank k-draw hela kupitia kadi yake na pia huwa kama yuko bize ananiomba nimsaidie kusoma mails zake na kuzijibu, siku moja pia niliumwa nikalazwa na alikua hana hela mfukoni na hajatembea na kadi na mimi nikamtuma aka-draw pesa kwenye akaunt yangu, kwa hiyo sometimes sio lazima kuambiana ila automatically jinsi mnavyoendelea kuwa kwenye mahusiano kila kitu kinakua wazi baina yenu due to some circumstances
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom