bornagain
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,383
- 1,354
Ninarafiki yangu ametoa mahari mwanzoni mwa mwaka huu na anategemea kuoa early June this year ila kuna kitukimoja kinamtatiza sana nacho ni wakati gani unafaa kwa yeye na mchumba wakekupeana passwords na username zao zamitandao yote ambayo amejiunga mfono yahoo, gmail, skype na facebook na pia niwakati gani mwafaka kwa hawa wachumba wanapaswa kuelezana akiba zao zilizopokwenye mabenk. Msaada wenu wa muongozo unahitajika