GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 160
bigjeff!lol,ulitaka kufanana na mimi jina........!ooh sorry kumbe ni nje ya mada
mkuu hiyo sio ID yako nyingine?, i've a doubt over there. hahaaaaaa
bigjeff!lol,ulitaka kufanana na mimi jina........!ooh sorry kumbe ni nje ya mada
huyu ni SHE!nitamtafutia kazi ya uhudumu wa baa pale chawote!infact ile baa wahudumu wake ni computer-literate kama yeye!anafaa huyu.tene amenona kweli.ana kiuno kama dondola
mzee wa ma-avator!kila siku unachangemkuu hiyo sio ID yako nyingine?, i've a doubt over there. hahaaaaaa
mzee wa ma-avator!kila siku unachange
Chrispin, Nguli, Ziondaughter, Geoff.....
Acheni usx-ngx
Jamaa kaanzisha thread yake nyinyi kama kina nani mje hapa kuharibu, kama Vipi anzisheni thread yenu, au tumianeni PM, NO INAKERA.
mwingine huyu hapa!how are u sweetlady?Safi sana MJ, kuna watu wanapenda umaarufu wa kijinga sana humu ndani.
Iwapo X = E! Lol! Hivi hospitali ya Mirembe iko wapi vile? Kuna mtu anahitaji tiba humu ndani.
mwingine huyu hapa!how are u sweetlady?
Hehehe! Kumbe ni she? Afu yupoyupo? Huyo kweli tayari bwashee!
Kwani huyo ms-x ng-x ni he au she?
SHE nenda umevua kabisa, uone kazi..
Kweli unatafuta Bwana kwa nguvu!
Kama ni mjasilimali uliyejizatiti lete bidhaa uuze, tanzania kila kitu kipo na watu wanafanya kazil. Ukisema biashara isiyo na watu wengi hiyo haipo, njoo ushindane huku ukijitangaza am sure utapata.
Otherwise utwambie nini kinauzika huko kutoka tanzania.
habari zenu kwa wote!mimi newcomer kwenye blog hii ya jamii,lakini ni mpenzi wa blogu hii siku nyingi nisiongeee mengi,wajasilimali nilikuwa naomba ideas tofauti za kibiashara nilikuwa nafikiria siku moja nitaanzaa biashara ya export/import kutoka UK kwenda TANZANIA labda mngenisaidia ni bidhaa gani kutoka nyumbani kuja UK na kutoka UK kuja bongo ambazo ni marketable na supplier sio wengi.....ahsanteni.
habari zenu kwa wote!mimi newcomer kwenye blog hii ya jamii,lakini ni mpenzi wa blogu hii siku nyingi nisiongeee mengi,wajasilimali nilikuwa naomba ideas tofauti za kibiashara nilikuwa nafikiria siku moja nitaanzaa biashara ya export/import kutoka UK kwenda TANZANIA labda mngenisaidia ni bidhaa gani kutoka nyumbani kuja UK na kutoka UK kuja bongo ambazo ni marketable na supplier sio wengi.....ahsanteni.