S Stayfar JF-Expert Member Jan 11, 2016 1,067 2,222 Jul 5, 2016 #1 Wajasiriamali wezangu, nimenunua Kuku tetea wa kienyeji ambaye amenivutia kumfuga,ila fuko lake la chakula limejaa toka Jana kiasi kwamba anapata shida kugeuza shingo,na ameanza kutochangamka. Je ni ugonjwa gani na tiba yake nini?. Nawasilisha
Wajasiriamali wezangu, nimenunua Kuku tetea wa kienyeji ambaye amenivutia kumfuga,ila fuko lake la chakula limejaa toka Jana kiasi kwamba anapata shida kugeuza shingo,na ameanza kutochangamka. Je ni ugonjwa gani na tiba yake nini?. Nawasilisha
BARA BARA YA 5 JF-Expert Member Sep 11, 2009 1,127 734 Jul 13, 2016 #2 Anaweza Kuwa Amepata obstruction Ya Chakula, Kama Miba Ya Samaki Nk
S Stayfar JF-Expert Member Jan 11, 2016 1,067 2,222 Jul 13, 2016 Thread starter #3 Ahsante mkuu,hata kama jibu limechelewa na nimeshamla yule kuku,ila Nashukuru kwa kunijali
ipyax JF-Expert Member Nov 1, 2010 4,044 6,297 Jul 14, 2016 #4 Stayfar said: Ahsante mkuu,hata kama jibu limechelewa na nimeshamla yule kuku,ila Nashukuru kwa kunijali Click to expand... Dah we jamaa uko faster yani hujampa hata nafasi ya kumuuguza!!!
Stayfar said: Ahsante mkuu,hata kama jibu limechelewa na nimeshamla yule kuku,ila Nashukuru kwa kunijali Click to expand... Dah we jamaa uko faster yani hujampa hata nafasi ya kumuuguza!!!