Msaada kwa ugonjwa huu wa kuku

Stayfar

JF-Expert Member
Jan 11, 2016
1,067
2,222
Wajasiriamali wezangu, nimenunua Kuku tetea wa kienyeji ambaye amenivutia kumfuga,ila fuko lake la chakula limejaa toka Jana kiasi kwamba anapata shida kugeuza shingo,na ameanza kutochangamka. Je ni ugonjwa gani na tiba yake nini?. Nawasilisha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…