Msaada kwa ugonjwa huu wa kuku

Stayfar

JF-Expert Member
Jan 11, 2016
1,065
2,192
Wajasiriamali wezangu, nimenunua Kuku tetea wa kienyeji ambaye amenivutia kumfuga,ila fuko lake la chakula limejaa toka Jana kiasi kwamba anapata shida kugeuza shingo,na ameanza kutochangamka. Je ni ugonjwa gani na tiba yake nini?. Nawasilisha
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom