MSAADA KWA TULIOKOSA CHAGUO LA KWANZA

MSAADA KWA TULIOKOSA CHAGUO LA KWANZA

CHITAKO

Member
Joined
Jul 13, 2017
Posts
31
Reaction score
10
Naomba kujuzwa wadai kwa wale ambao tumekosa kuchaguliwa kwa awamu ya kwanza,kwa mfano awamu ya kwanza niliomba Udom,lakini pia kwa awamu ya pili nataka niombe tena hapo udom,Je kuna haja tena ya kulipiwa upya?au ile ada ya mwanzo ndo itatumika?
 
Naomba kujuzwa wadai kwa wale ambao tumekosa kuchaguliwa kwa awamu ya kwanza,kwa mfano awamu ya kwanza niliomba Udom,lakini pia kwa awamu ya pili nataka niombe tena hapo udom,Je kuna haja tena ya kulipiwa upya?au ile ada ya mwanzo ndo itatumika?
Ada ni ile ile unaingia kwenye account uliyotumia kuomba....haina malipo tena

Omba kwa kuzingatia capacity ya course husika na ushindani pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom