Captain Doug
Member
- Jul 24, 2015
- 60
- 20
sorry wadau mimi nimechaguliwa bachelor of technology in architecture chuo cha MUST,mwenye uelewa na kozi hii katika mfumo wa ajira na hata kujiajiri pia changamoto zake naomba unijuze,haijarishi umesoma MUST au ARIDHI msaad wako ni muhm kwangu..aksanteni