MSAADA KWA MNAUJUA SYSTEM YA MWAKA HUU YA VYUONI

MSAADA KWA MNAUJUA SYSTEM YA MWAKA HUU YA VYUONI

Joined
Jul 14, 2018
Posts
36
Reaction score
7
Jamani mwaka huu walikuwa wanachagua vyuo kwa vigezo gani kwa maana kuna watu kibao wenye Two na One wameachwa kwa mfano kuna dugu yangu ni PCB ana two ya 12 na mwingine TWO ya 11 watu wamekosa nafasi SUA na UDOM wakati kuna wenzao wenye three wamepata tena kwa maajabu wote walijaza course sawa hv system ya mwaka huu ipo je???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani mwaka huu walikuwa wanachagua vyuo kwa vigezo gani kwa maana kuna watu kibao wenye Two na One wameachwa kwa mfano kuna dugu yangu ni PCB ana two ya 12 na mwingine TWO ya 11 watu wamekosa nafasi SUA na UDOM wakati kuna wenzao wenye three wamepata tena kwa maajabu wote walijaza course sawa hv system ya mwaka huu ipo je???

Sent using Jamii Forums mobile app
wanangalia first choice hususani hapo udom na ushindani uliopo kwenye hiyo choice

Sent using Jamii Forums mobile app
 
iko hivi..hao ndugu zako watakuw wamekosea kujaza detail..yaan hata kama kuweka namba ya sim..system inakutema......kama walichagua chuo kimoja watatumiwa code
 
iko hivi..hao ndugu zako watakuw wamekosea kujaza detail..yaan hata kama kuweka namba ya sim..system inakutema......kama walichagua chuo kimoja watatumiwa code
Hamna ndugu ina maana wote wamekosea code katika mfano hapa shuleni kwetu two zipo 18 ila wote wamekosa chuo lakn kwa maajababu 3 ya 13 na 14 baadhi zimepata chuo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawaangalii division 1 wale
Washkaj zangu wana 3 za 13 wameenda UDOM wamewaacha kitaa wa 1 na 2

Sent using Jamii Forums mobile app

wanaangalia chaguo la kwanza, na ushindani wa iyo kozi mwenye perfomance nzuri anakuwa na nafasi kubwa ya kuchaguliwa, hao wenye one na two waliotemwa unakuta tatzo labda chaguo la kwanza alijaza kozi yenye ushindani mkubwa. ushaur ni kuwa makini sana na first priority ya kozi unayoitaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom