Dexta
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 2,322
- 5,803
- Thread starter
- #21
Kiwanja kipo kwenye tambarale mkuuMleta Mada amefanya kuwe na Majibu tofauti, kwanza hajasema vipimo vya nyumba yake, pili hatutajua mlalo wa kiwanja chake, kama Kiko tambarale au kipo kwenye mwinuko.
Kwahiyo majibu mengi atakayopata hapa yatakuwa ni Makadirio zaidi kuliko Uhalisia.