Nyoka kibisa JF-Expert Member Joined Nov 30, 2014 Posts 942 Reaction score 2,575 Feb 23, 2019 #1 Lap top yangu aina ya lenovo thinkpad ilizima ghafla na sasa hivi nikiiwasha batan ya kuwashia inawaka kama sekunde moja na wakati wa kuwasha kama ina vibrate afu inazima tatizo ni nini au ndo kifo chakekimetimia msaada wa mawazo
Lap top yangu aina ya lenovo thinkpad ilizima ghafla na sasa hivi nikiiwasha batan ya kuwashia inawaka kama sekunde moja na wakati wa kuwasha kama ina vibrate afu inazima tatizo ni nini au ndo kifo chakekimetimia msaada wa mawazo