Msaada kwa anayekijua chuo cha NIT

Itakuwa imeombwa na watu weng sana ndo maana wameitoa
Labda aisee ila Nacte hawapokei simu bhana... kuna matatizo mengi eti.. ningekuwa Dar ningeenda ofisini kwao. Mfano kuna kozi guidebook inaonyesha ni priority na ada ni 1.2m lakini pale kwenye machaguo sio priority na ada ni 1.6m.
 
Mi huwa nawashauri wanafunzi kuchagua vyuo vilivyo stick kwenye kozi maalum,
Kwahiyo NIT kwenye koz za transport na procurement nikizuri.
 
hongera mkuu umeelezea vizur lkn umesahau changamoto ya mkopo kucheleweshwa sana
 
Changamoto za kawaida tuu.
Mpe hela za vitini za kutosha maana hiyo course ina matirio mpaka inakera...
Kama ana uwezo wa kupanga ni vizuri zaidi maana vijana wa hostel hawajambo kwa kusafisha haswa kipindi baada ya semester exams.
Kama ni mzee wa vizenga imekula kwake maana akidakwa sasahivi hakuna msalie mtume kuna deputy mkuu wa chuo huyo ni bad news.
All in all kama atakutana na waalimu vijana (maana wameajiriwa wengi lately) asiwaletee kujua sana atasup mpaka anaingia kazini.
 
Wakuu kwa habari ya admission letter inakaaje na nimejalibu kuingia email ya chuo olaaaa
 
Ada yao n sh ngap na wanaanza lini
 
Chaguliwa kwanza maana kupata NIT hasa kwa transport ni mziki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…