Msaada kwa anayejua Course ya Bachelor of Education (special needs)

Msaada kwa anayejua Course ya Bachelor of Education (special needs)

Ndengaiii

Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
33
Reaction score
15
Naomba mnisaidie kunipa mwanga kidogo kuhusu hii corse, nahitaji mdogo wangu akasome.

Naombeni muongozo kwa watu wanaoijua hii course[emoji120].
 
Ni kozi ya uwalimu kwa ajili ya wanafunzi wenye special needs (viziwi, bubu etc)
 
Elim ya watoto wenye mahitaji maalum km wenye uoni hafifu ambayo wanatumia nukta nundu kusoma na wasio ckia hutumi lugha ya alama,vyuo vinavyotoa course hyo ni UDOM,AMUCTA -TABORA, na PATANDI-ARUSHA certificate
 
Naomba mnisaidie kunipa mwanga kidogo kuhusu hii corse, nahitaji mdogo wangu akasome.

Naombeni muongozo kwa watu wanaoijua hii course[emoji120].
inahusisha ufundishaji wa watoto wenye uhitaji/uangalizi maalum ( bubu, viziwi, wasioona, wenye utindio wa ubongo nk) Soko lake linachukua watu now I mean fursa zimeanza funguka
 
Naomba mnisaidie kunipa mwanga kidogo kuhusu hii corse, nahitaji mdogo wangu akasome.

Naombeni muongozo kwa watu wanaoijua hii course[emoji120].
Inahusu elimu kwa watoto wenye mahitaji maalumu kama wenye ulemavu wa kusikia, kuona, na ulemavu wa akili (mtindio wa ubongo, usonji n.k), patandi wanayo hiyo course kwa certificate na diploma pia UDOM.
Miaka michache nyuma kulikua na chuo cha kumbukumbu ya sebastian kolowa (Sebastian Kolowa Memorial University) Lushoto-Tanga walikua vizuri sana mtu alikua anaspecialize kwenye ulemavu wa aina moja kama ni kusomea ulemavu wa kusikia basi unakomaa hapo utafundisha vitu vingi ikiwemo anatomy ya sikio, jinsi ya kupima sikio lenye shida, na utafundishwa lugha ya alama na mwisho wa siku wata kupima kwa practical examination.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inahusu elimu kwa watoto wenye mahitaji maalumu kama wenye ulemavu wa kusikia, kuona, na ulemavu wa akili (mtindio wa ubongo, usonji n.k), patandi wanayo hiyo course kwa certificate na diploma pia UDOM.
Miaka michache nyuma kulikua na chuo cha kumbukumbu ya sebastian kolowa (Sebastian Kolowa Memorial University) Lushoto-Tanga walikua vizuri sana mtu alikua anaspecialize kwenye ulemavu wa aina moja kama ni kusomea ulemavu wa kusikia basi unakomaa hapo utafundisha vitu vingi ikiwemo anatomy ya sikio, jinsi ya kupima sikio lenye shida, na utafundishwa lugha ya alama na mwisho wa siku wata kupima kwa practical examination.

Sent using Jamii Forums mobile app
Oh asante sana

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom